DIWANI KATA YA KIVUKONI ALIA NA UKOSEFU WA OFISI KATIKA KATA YAKE



Na Christopher james

Dar es Salaam 

Diwani wa   kata ya  kivukoni  ameitaka  halimashauri ya JIJI  la Dar Es Salaam  kuhakikishia wanawapatia ofisi ili kuwarahisisha kutatua kero za wananchi kutokana kutokuwa na ofisi katika kata hiyo kwa muda mrefu 

Akiongea  kwenye mkutano wa  Baraza la madiwani  jijini la  dar mkutano  wenye lengo la kujadili mipango na utekelezaji  wamiradi mbali ikiwemo miradi ya barabara ya tarura  diwani wa  kivukoni  mh Sharik choughule asema wameomba kwa  muda mrefu kupatiwa ofisi na Halimashauri hiyo lakini mpaka sasa hawana ofisi  suala linalochangia kushindwa kutumiki wananchi kwa ufasahaa 

 kwa upande kaimu mkurugenzi wa jiji la Dar Es Salaam Tabu shaibu amesema katika maeneo ambayo halmashauri hiyo imepanga kujenga ofisi kumejumbwa na changomoto kuwa maeneo ya wazi na masuala kiusalama kutokana na unyeti eneo la kivukoni ilawameomba ili wawezekupatiwa ofisi miongoni  mwa  ofisi zilizohamia dodoma



Post a Comment

Previous Post Next Post