CHADEMA WAMJIBU LISSU ANATUMIKA NA CCM.



Yeyote akisema hatukujiandaa na uchaguzi, awe Mwanachadema, awe MwanaCCM, awe hana Chama ana shida kati ya hizi mbili mosi; hakuwepo wakati wote wa zoezi hili hivyo hajui anachokizungumza au pili; anafanya kazi ya CCM kwa makusudi kabisa. - Benson Kigaila

Post a Comment

Previous Post Next Post