WAFANYAKAZI WANAWAKE WA MUHIMBILI WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA KUTOA MSAADA KWA WENYE UHITAJI

 

Wafanyakazi Wanawake wa Jengo la Watoto Namba mbili wakijiandaa kupeleka mahitaji wodi ya watoto wenye Saratani.

Wafanyakazi Wanawake wa Jengo la Watoto Namba mbili

Wafanyakazi Wanawake wa Jengo la Watoto Namba moja

Wafanyakazi Wanawake wa Jengo la Watoto Namba moja

Wafanyakazi Wanawake Idara ya Utasishaji wakijiandaa kupeleka mahitaji wodi ya watoto wenye Saratani.

Wafanyakazi ya Chumba cha Upasuaji Magonjwa ya Kike na Uzazi

Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Hospitali ya Taifa Muhimbili ( MNH) 

Na Sophia Mtakasimba

Wafanyakazi Wanawake Hospitali ya Taifa ya Taifa Muhimbili (MNH) leo wameungana na Wanawake wote Duniani kuadhimisha Siku ya Wanawake.

Katika Maadhimisho hayo ambayo mwaka huu yalibeba kauli mbiu isemayo Kizazi cha haki na Usawa kwa Maendeleo Endelevu; Jitokeze  kuhesabiwa, wanawake wa MNH wametumia siku hii kwa kutoa msaada kwa wahitaji katika Wodi za Wazazi , Wodi za Watoto wachanga, Wodi za Watoto wenye Saratani, pamoja na kutoa misaada kwa watoto waliohifadhiwa katika Mahabusu ya watoto Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani

Chanzo Muhimbili Blog 

Post a Comment

Previous Post Next Post